Search This Blog

Tuesday, June 22, 2021

Rick Ross kuachia albam yake mpya hivi karibuni

 


The Big Boss Rick Ross, kwenye mahojiano yake mapya na Complex, ameweka wazi kuwa ataachia album yake mpya hivi karibuni.

Staa huyo wa MMG amesema album hiyo ameipa jina la "Richer Than I've Ever Been", ambayo itakuwa album yake ya 11 ikiifuata Port of Miami 2 iliyotoka Agosti 2019.

Rozay ambaye kwasasa anahisiwa kuwa kwenye mahusiano na model Hamisa @hamisamobetto, pia ameeleza ataachia ngoma mbili kwa mpigo kabla ya kuachia album yake.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...