Search This Blog

Sunday, June 20, 2021

Rais Samia Suluhu awasili Jijini Dodoma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Wahudumu wa Shirika la Ndege la ATCL mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Dodoma leo tarehe 20 June, 2021.
 

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...