Ratiba imeanza asubuhi hii ambapo mwili wa Marehemu umeletwa nyumbani na baadae heshima za mwisho zitatolewa katika Kanisa Katoliki St. Gasper Mbezi Beach kuanzia saa saba mpaka saa nane mchana.
Kisha mwili wa Marehemu utasafirishwa kwenda Sanya Juu mkoani Kilimanjaro jioni ya Leo kwaajili ya mazishi.

No comments:
Post a Comment