Mkuu wa mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko amezindua karakana kubwa na ya Kisasa, ambayo itatengeneza mashine mbalimbali zitakazotumiwa na Wakulima katika kurahisisha shughuli zao.
Karakana hiyo itatengeneza mashine za kusindika mazao, kupura mpunga, ngano na mahindi, pamoja na kukamua mafuta na kuvuna mazao mbalimbali.
No comments:
Post a Comment