Search This Blog

Sunday, June 27, 2021

Kikwete aeleza sababu iliyomfanya kuhudhuria mkutano mkuu wa Yanga leo

Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete amesema moja ya sababu iliyomfanya kuhudhuria mkutano wa leo ni baada ya kuona ajenda za mkutano mkuu, zimekaa kisomi na kisasa na zinazoonyesha tulipo na tunapokwenda.
 

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...