Search This Blog

Wednesday, June 30, 2021

Kenyata: Hakuna mkenya atakayelazimishwa chanjo


Rais Uhuru Kenyatta amesema hakuna Mkenya atakayelazimishwa kupata Chanjo ya #CoronaVirus ambayo itatolewa bure na Serikali kwa watu wazima

Amesema baadhi ya Wananchi wameibua mijadala kuhusu Chanjo na madhara yake akisisitiza licha ya kwamba hazitakuwa lazima, Elimu kuhusu suala hilo ni muhimu

Kenya inalenga kutoa Chanjo kwa watu wazima wote ambao idadi yao ni Milioni 26 hadi kufikia katikati ya 2022, huku Milioni 10 wakipata chanjo kufikia Desemba 2021



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...