LEO Juni 22, Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea ambapo timu mbili zitakuwa uwanjani kusaka pointi tatu muhimu.
Tanzania Prisons itawakaribisha Coastal Union, Uwanja wa Nelson Mandela.
Simba itawakaribisha Mbeya City Uwanja wa Mkapa.
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
No comments:
Post a Comment