Search This Blog

Monday, June 21, 2021

Hii hapa ratiba ya leo ya ligi kuu

 


LEO Juni 22, Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea ambapo timu mbili zitakuwa uwanjani kusaka pointi tatu muhimu. 

Tanzania Prisons itawakaribisha Coastal Union,  Uwanja wa Nelson Mandela. 

Simba itawakaribisha Mbeya City Uwanja wa Mkapa.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...