Search This Blog

Thursday, June 17, 2021

Chanjo ya Covid yaathiri uchangiaji damu Kenya


Huduma za uchangiaji damu nchini Kenya zimeathiriwana na janga la Covid-19, kwani wachangiaji ambao wamepokea sehemu ya kwanza dozi au dozi kamili ya chanjo ya AstraZeneca wanapaswa kusubiri kwa angalau siku saba kabla ya kuchangia damu.

Huduma ya Kitaifa ya Uchangiaji Damu nchini humo hukabiliwa na changamoto ya kufikia lengo la kukusanya damu painti milioni moja kila mwaka.

Shirika la Afya Duniani (WHO) linasema kipindi cha kuahirisha utoaji damu kinawapatia furasa wachangiaji kutathmini ikiwa wana athari yoyote baada ya chanjo.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...