Search This Blog

Thursday, June 10, 2021

Breaking: Rais Samia atengua uteuzi wa RC Chalamila


 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 11 Juni 2021 ametengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Albert Chalamila na nafasi inachukuliwa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhandisi Robert Gabriel Luhumbi

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...