Mahakama Kuu ya Tanzania imetengua hukumu ya Mahakama ya Kisutu iliyowatia hatiani Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake nane. Yaagiza faini walizolipa zirudishwe
Wakili wa Chadema, John Mallya ameieleza Mwananchi Digital leo Ijumaa Juni 25, 2021 kuwa uamuzi huo wa Mahakama Kuu umetolewa leo.

No comments:
Post a Comment