Search This Blog

Friday, June 4, 2021

Adam Adam wa JKT asajiliwa Al Wahda


Klabu ya Al Wahda ya nchini Libya, imemsajili mshambuliaji wa Tanzania, Adam Adam, mwenye umri wa miaka 24.

Kabla ya usajili huo, Adam Adam alikuwa akiitumikia klabu ya JKT Tanzania na hadi sasa ameifungia timu hiyo mabao Saba katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara 2020/2021 na magoli 13 msimu uliopita.

Al Wahda inashiriki Ligi Kuu ya nchini Libya.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...