Search This Blog
Saturday, May 1, 2021
Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgeni Rasmi Mei Mosi Leo Jijini Mwanza
Kutoka katika Uwanja wa CCM Kirumba Mwanza ambapo yanafanyika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Kitaifa na Mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan. Tayari viongozi mbambali wa Serikali wameanza kuwasili tayari kwa ajili ya shughuli hiyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...


No comments:
Post a Comment