Search This Blog

Saturday, May 1, 2021

Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgeni Rasmi Mei Mosi Leo Jijini Mwanza

Kutoka katika Uwanja wa CCM Kirumba Mwanza ambapo yanafanyika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Kitaifa na Mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan. Tayari viongozi mbambali wa Serikali wameanza kuwasili tayari kwa ajili ya shughuli hiyo.


 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...