Search This Blog
Saturday, May 1, 2021
PICHA: Wafanyakazi wa TANESCO washiriki maadhimisho ya Mei Mosi Mwanza
Picha mbalimbali za wafanyakazi wa Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) wakishiriki katika maandamano kwa kupita mbele ya mgeni Rasmi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwenye maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi Kitaifa yanayofanyika kwenye uwanja wa CCM Kirumba Mkaoni Mwanza leo Mei,1, 2021. Viongozi na wageni waalikwa mbalimbali wameshiriki katika maadhimisho hayo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...









No comments:
Post a Comment