Search This Blog

Sunday, May 30, 2021

Pamba FC yapindua meza nyumbani

Timu ya pamba fc imefanikiwa kupata matokeo baada ya kuifunga ken gold toka chunya jijini mbeya kwa jumla ya magoli 4-1, hivyo kuifanya timu ya pamba kwenda hatua ya mwisho kutafuta nafasi ya kucheza vpl msimu ujao mchezo wa kwanza uliochezwa jijini mbeya pamba walifungwa magoli 2-0,hivyo kwa matokeo jumla pamba wanasonga mbele kwa jumla ya ushindi wa magoli 4-3.



 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...