Search This Blog

Monday, May 24, 2021

Ndugai akerwa na ngonjera za mawaziri Bungeni


Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai, amewataka mawaziri hasa katika kipindi cha maswali na majibu kuhakikisha wanajibu maswali wanayoulizwa ipasavyo na si kuzunguka zunguka tu na kufanya ngonjera bungeni.

Kauli hiyo ameitoa Bungeni Dodoma hii leo Mei 24, 2021, na kueleza kuwa kuanzia kesho kila mbunge anayesimama kuuliza swali anatakiwa afanye hivyo na siyo kupoteza muda na vivyo hivyo kwa mawaziri wanatakiwa kunyoosha maelezo wakati wa kujibu maswali hayo.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...