Msanii wa HIP HOP nchini, Nay wa Mitego amepata ajali ya bodaboda wakati anawahi kwenye Interview ya kipindi cha "Friday Night Live" kinachorushwa na East Africa TV.
Kwa sasa msanii huyo anaendelea vizuri ambapo yupo katika Hospitali ya Kairuki Mikocheni akipatiwa matibabu .
No comments:
Post a Comment