Search This Blog

Saturday, May 29, 2021

Mwkinyo amchapa kwa TKO Antonio Mayala

 


Bondia wa Kimataifa wa Tanzania, Hassan Mwakinyo amempiga kwa TKO, bondia wa Angola Antonio Mayala, usiku wa kuamkia leo katika pambano la ubingwa wa uzito wa Super Welter unaotambuliwa na Shirikisho la Ngumi za Kulipwa Afrika (ABU).

Mwakinyo ameshinda katika raundi ya 9 kati 12 za pambano hilo lililopewa jina la 'Rumble in Dar II' ambalo lilichezwa Next Door Arena, Masaki jijini Dar es Salaam.

 Hassan Mwakinyo anashikilia rekodi ya kushinda mapambano 18 na kupoteza mawili.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...