Search This Blog

Tuesday, May 25, 2021

Mganga afariki kwa sumu akiwaaminisha wateja ina kinga


Mtu mmoja ambaye amebainika kuwa ni mganga wa jadi, Robert Masumbuko, amefariki dunia mkoani Tabora wakati akijaribu kuwaaminisha wateja wake kwamba ana uwezo wa kuwapatia kinga dhidi ya sumu yoyote ambayo mtu anaweza kuinywa pasipo kudhurika.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Safia Jongo amethibitisha kutokea kwa tukio hilo huku akiwaonya wananchi kuepukana na dhana potofu ambazo zinaendelea kumshamiri kwa baadhi ya wananchi. Mtu huyo mkazi wa Kigoma lakini amefariki akiwa Kaliua mkoani Tabora.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...