Search This Blog

Saturday, May 15, 2021

Makamu wa Rais azuru kaburi la Hayati Magufuli


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango, akizuru Kaburi la aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Magufuli wakati aliposimama kwa muda Wilayani Chato alipokuwa njiani akielekea Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma.

Mpango anaenda Kibondo kwa ajili ya kufunga Kampeni za Chama cha Mapinduzi CCM za Jimbo la Muhambwe kwa ajili ya Uchaguzi Mdogo wa Kiti cha Ubunge unaotarajiwa kufanyika Jumapili Mei 16, 2021 kufuatia Kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo Hayati Nditiye.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...