Search This Blog

Monday, May 17, 2021

Kiporo cha Simba vs Yanga Julai 3


Mchezo namba 208 wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Simba SC na Yanga SC umepangwa kuchezwa Julai 3, 2021, saa 11:00 jioni katila Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.

Awali mchezo huo ulipangwa kuchezwa Mei 8, 2021, lakini uliahirishwa.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...