Search This Blog

Monday, May 17, 2021

Kikosi cha Yanga chatua Dar Salama


 KIKOSI cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu,  Nassreddine Nabi kimewasili salama leo Mei 17, Dar kikitokea Mtwara.

Yanga ilikuwa na kazi ya kusaka pointi tatu muhimu mbele ya Namungo FC,  Mei 15 katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Mkapa.

Baada ya dakika 90 kukamilika ubao ulisoma Namungo 0-0 Yanga na kuwafanya wagawane pointi mojamoja. 

Leo kimerejea ili kuanza maandalizi ya mchezo wao ujao dhidi ya JKT Tanzania unaotarajiwa kuchezwa Mei 19, Uwanja wa Jamhuri, Dodoma.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...