Search This Blog

Saturday, May 8, 2021

Kikosi cha Simba dhidi ya Yanga


LEO Mei 8, Uwanja wa Mkapa mchezo wa watani wa jadi kati ya Simba v Yanga unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa.


Hiki hapa kikosi cha Simba kinachotarajiwa kuanza leo kusaka pointi tatu kwa mujibu wa gazeti la Championi Jumamosi:- 

Aishi Manula 


Shomari Kapombe 


Joash Onyango 


Pascal Wawa 


Mohamed Hussein 


Luis Miqussone 


Taddeo Lwanga 


Larry Bwalya 


Chris Mugalu 


Mzamiru Yassin 


Clatous Chama



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...