Katika kusheherehekea Miaka 17 ya Silent Ocean Toka ilipoanzishwa mwaka 2004 Mhe.Mkuu wa mkoa Dar-es-salaam Abubakar Kunenge, ambaye alikuwa mgeni katika hafla hiyo kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee.
Alisema, Mkoa wa Dar-es-Salaam unakuwa kwa kasi sana kupitia Biashara mbalimbali zinazofanyika ndani ya mkoa huu.
Aidha akaongezea kwa kusema kuwa "Nataka kuwahakikishia mimi ndio mkuu wa mkoa wa Dar-es-salaam mwakilishi wa Wa mhe.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia suluhu Hassan Hapa fanyeni Biashara tunataka Mamilionea kupitia Biashara.

No comments:
Post a Comment