Search This Blog

Thursday, May 20, 2021

Brigedia Jenerali Rajabu Mabele ateuliwa kuwa Mkuu wa JKT


Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Brigedia Jenerali Rajabu Mabele kuwa Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa akichukua nafasi ya Meja Jenerali Charles Mbuge aliyeteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera

Aidha, Kanali Absolomon Shausi ameteuliwa na Rais Samia kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa SUMA-JKT




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...