Search This Blog

Thursday, May 6, 2021

BAKWATA yatangaza tarehe ya Eid El-Fitr

Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limewajulisha Waislamu na Wananchi wote kwa ujumla kuwa Sikukuu ya Eid El-Fitr itakuwa Alhamisi Mae 13, 2021 au Ijumaa Mei 14, 2021.

Taarifa ya BAKWATA imefafanua sababu ya tarehe hizo mbili ni kutegemeana na kuandama kwa mwezi.

Sherehe za Eid El- fitr kitaifa kwa mwaka huu zitafanyika Mkoa wa Dar es salaam ambapo swala ya Eid itaswaliwa katika viwanja vya Mnazi Mmoja kuanzia saa 1:30 asubuhi.

 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...