Mamlaka za #Marekani zimesema wanaojitokeza kupata Chanjo ya COVID 19 wamepungua sababu ikitajwa kuwa wengi wanasubiri kuona madhara ya chanjo hizo
Kaunti ya Mercer iliyoko Jimbo la Ohio imetolewa mfano kuwa mwezi Januari watu zaidi ya 500 walipokea chanjo ndani ya siku moja, idadi hiyo imeshuka sana ambapo watu 264 wamepata chanjo mwanzo wa mwezi April
Hadi sasa ni 27% ya wakazi wa Kaunti ya Mercer walioanza kupata chanjo, tofauti na awali sasa hivi chanjo inajumuisha watu wenye umri kuanzia miaka 16
No comments:
Post a Comment