Search This Blog

Sunday, April 18, 2021

Wanaojitokeza kupata chanjo ya corona wapungua Marekani


Mamlaka za #Marekani zimesema wanaojitokeza kupata Chanjo ya COVID 19 wamepungua sababu ikitajwa kuwa wengi wanasubiri kuona madhara ya chanjo hizo

Kaunti ya Mercer iliyoko Jimbo la Ohio imetolewa mfano kuwa mwezi Januari watu zaidi ya 500 walipokea chanjo ndani ya siku moja, idadi hiyo imeshuka sana ambapo watu 264 wamepata chanjo mwanzo wa mwezi April

Hadi sasa ni 27% ya wakazi wa Kaunti ya Mercer walioanza kupata chanjo, tofauti na awali sasa hivi chanjo inajumuisha watu wenye umri kuanzia miaka 16



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...