Search This Blog

Monday, April 19, 2021

Rais Samia amwapisha Balozi Mteule Yusuph Mndolwa Tindi kuwa Balozi na kuwa Mkuu wa Itifaki


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemuapisha aliyekuwa Balozi Mteule Yusuph Mndolwa Tindi kuwa Balozi na kuwa Mkuu wa Itifaki (Chief of Protocol-CP), leo tarehe 19 Aprili, 2021, asubuhi hii, Ikulu ya Chamwino Dodoma.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...