Search This Blog

Thursday, April 29, 2021

Picha: Waziri Mkuu Majaliwa alivyowafuturisha Wabunge

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wabunge katika futari aliyowaandalia kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Aprili 28, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Spika wa Bunge, Job Ndugai akizungumza na  Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega (kushoto)  na Mwenyekiti wa Bunge, Najma Murtaza Giga  kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Aprili 28, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Baadhi ya wabunge  wakishiriki katika futari iliyoandaliwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Aprili 28, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Spika wa Bunge, Job Ndugai (wa  pili kushoto), Spika wa Baraza la Wawakilishi, Zubeir  Ali Maulid (kulia) na Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson Mwansasu (kushoto), katika futari  ambayo Waziri Mkuu aliwaandalia wabunge kwenye viwanja vya Bunge jijjini Dodoma, Aprili 28, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).



 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...