Search This Blog

Sunday, April 18, 2021

MASHINDANO YA QURAN JIJINI DODOMA

 


Holy Quran Award inawakaribisha wakazi wa Dodoma na viunga vyake kushuhudia mashinda ya Quran tukufu kwa juzuu 30.


Ambayo yanasimamiwa na kuandaliwa na shekh othman ally kaporo.


Karibu nyote katika uwanja wa jamuhuri Stadium Dodoma tarehe 24-04-2021 kuanzia saa mbili asubuh. Quran ni "DIRA"



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...