Search This Blog

Tuesday, April 20, 2021

Kampuni ya Vunja bei group wameshinda tenda ya kuwa mzalishaji na msambazaji mkuu wa vifaa na jezi za Simba SC

 


Afisa Mtendaji Mkuu wa Simba SC, Barbara Gonzalez ametangaza kuwa Kampuni ya Vunja Bei ndio imeshinda tenda ya jezi za klabu hiyo.

Kwa mujibu wa Barbara mkataba wa tenda hiyo unagharimu shilingi bilioni mbili na ni wa miaka miwili.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...