Search This Blog

Thursday, April 15, 2021

Jafo kukutana na wawekezaji april 17 "nataka nijue wamekwama wapi"


Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Selemani Jafo amewaita wawekezaji wote nchini Aprili 17, kwa ya kuwaisililiza wamekwama wapi lengo likiwa kuboresha utendaji kazi.

Waziri Jafo ameyasema hayo leo katika ofisi za NEMC jijini Dar es Salaam ambapo pia amepiga marufuku matumizi ya mifuko ya Plastiki katika maeneo mbalimbali ikiwemo masokoni.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...