Search This Blog

Thursday, April 29, 2021

Israel yaongoza kwa kutoa bei rahisi za Bando za Internent

 


Nchi ya Israel imekuwa namba moja Duniani kwa kutoa bei rahisi za Bando za Internent ambapo GB 1 inagharimu USD 0.05 (Tsh. 116.19), hii ni kwa mujibu wa Mtandao wa Cable wa Uingereza, kwenye tano bora ya Dunia ya bei rahisi ya Bando ipo pia Sudan (USD 0.27).

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...