Search This Blog

Saturday, April 17, 2021

Homa ya Mafua ya ndege yazuka Afrika Kusini


Nchi 3 zimepiga marufuku uagizaji wa bidhaa za kuku kutoka Afrika Kusini Kufuatia kuzuka kwa homa ya ndege nchini humo.

Kulingana na habari katika vyombo vya habari vya kitaifa, nchi jirani zilishtuka baada ya Chama cha Kuku cha Afrika Kusini kutangaza kwamba wanyama 300 katika shamba la kuku walikufa kutokana na homa ya ndege.

Botswana, Namibia na Msumbiji zimepiga marufuku uagizaji wa bidhaa zote za kuku kutoka Afrika Kusini, kama vile kuku, mayai na manyoya.

Imeelezwa kuwa shamba hilo katika jiji la Ekurhuleni, ambapo janga hilo lilitokea, limetengwa

 Janga kama hilo lilitokea nchini humo mnamo 2017, na mamilioni ya ndege waliuawa.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...