Search This Blog

Thursday, April 8, 2021

DJ Khaled aliuza jumba lake la kifahari kwa bilioni 30


DJ Khaled  ameripotiwa kuliuza jumba lake la kifahari lililopo huko Beverly Hills Marekani kwa kiasi cha $12.5 millioni ambazo ni takribani Sh. Bilioni 30 za Kitanzania.

Kwa mujibu wa ripoti, #DJKhaled ameuza jumba hilo kwa faida kwani mwaka 2016 alilinunua kwa kiasi cha $9.9 millioni ambazo ni takribani Bilioni 23 kwa thamani ya pesa ya Tanzania.

Jumba hilo linatajwa kununuliwa na daktari wa upasuaji David Amron na mkewe Jessica, likiwa na ekari 3 na robo, vyumba 6 vya kulala, mabafu 8, jiko kubwa, gym na mengine mengi ya kuvutia.




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...