Search This Blog

Saturday, April 24, 2021

Ajali ya helikopta yapelekea vifo Zimbabwe

Helikopta ya jeshi iliyotumiwa kwa ajili ya mafunzo imeanguka kwenye nyumba na watu 4, akiwemo mtoto, wamefariki.

Ajali hiyo imetokea katika mji mkuu wa Harare.

Mawasiliano na helikopta ya jeshi iliyotumiwa kwa ajili ya mafunzo yalikatika muda mfupi baada ya kuondoka kutoka mji mkuu, Harare.

Kama matokeo ya helikopta kugonga nyumba huko Arcturus, Harare, wafanyakazi, mafundi 2 na mtoto wamepoteza maisha.

Kikosi cha Anga cha Zimbabwe kinalalamika kuwa helikopta zake na ndege za kivita ni za zamani, lakini hawawezi kumudu mpya kutokana na vikwazo vya nchi za magharibi.

 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...