Search This Blog

Tuesday, April 27, 2021

40 ya Hayati aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Magufuli yafanyika

Mama Janeth Magufuli, Mjane wa aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati John Magufuli akiwa na Mama Marry Majaliwa, Mke wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, wakiwa na Mapadre wa Kanisa Katoliki la Mtakatifu Petro - Oysterbay mkoani Dar es salaam mara baada ya kumalizika kwa Misa Takatifu ya kumuombea Hayati Magufuli ikiwa ni siku ya 40 toka afariki dunia Machi 17 mwaka huu.





 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...