Search This Blog

Monday, March 1, 2021

Waziri Mkuu wa Hungary achomwa chanjo ya China


Waziri Mkuu wa Hungary Viktor Orban amechomwa Chanjo ya Sinopharm, iliyotengenezwa na China , dhidi ya virusi vya corona (Covid-19).

Orban amesema katika taarifa kwamba ilikuwa zamu ya maafisa wa serikali kupewa chanjo hizo na kwamba amechomwa wa kwanza yeye.

Akielezea kwamba alijisikia vizuri sana baada ya chanjo, Orban amesisitiza umuhimu wa chanjo katika wimbi la tatu la corona nchini humo.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...