Search This Blog

Tuesday, February 16, 2021

Watatu washikiliwa na polisi kwa mauaji ya wanawake Arusha


Jeshi la polisi mkoani Arusha limewakama mtandao wa watuhumiwa watatu wa mauaji ya matukio ya wanawake mkoani Arusha ambayo yamekuwa yakifanyika mara kwa mara.

Akizungumza na waandishi wa Kamanda wa polisi mkoani Arusha,Salum Hamduni amewataja watuhumiwa hao kuwa ni Mbise Sanare Lekumo(30) mkazi wa Olasiti ,Lembeka Olomorojo(65) mkazi wa Osunyai na mganga wa kienyeji Bashiri Msuya (64)mkazi wa mtaa wa Kirika B kata ya Osunyai jijini Arusha.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...