Search This Blog

Sunday, February 28, 2021

Wakamatwa kwa kutaka kuipindua serikali China

 


Polisi wamewakamata wanaharakati 47 kwa "kupanga kuipindua serikali " katika  Kanda Maalum ya Utawala ya Hong Kong.


Imetangazwa kuwa watu hao 47 watafikishwa mahakamani siku ya kesho, Imeelezwa kuwa wanaharakati hao, wenye umri kati ya miaka 23 na 64, walikamatwa mnamo Januari na kuachiliwa baadaye.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...