Search This Blog

Wednesday, February 24, 2021

Taharuki yatanda Niger baada ya matokeo ya uchaguzi kutangazwa


Makabiliano kati ya waandamanaji na yameshuhudiwa katika baadhi ya maeneo ya mji mkuu wa Niger, Niamey, kabla na baada ya Mohamed Bazoum kutangazwa mshindi katika duru ya pili ya uchaguzi wa urais

Wafuasi wa mpinzani wake Mahamane Ousmane waliokuwa na hasira waliandamana katika ngome ya upinzani na maeneo ya karibu na makao makuu ya chama Hama Hamadou,kiongozi wa zamani wa upinzani.

Magurudumu ya magari yalichomwa na magari ya kampeni ya chama tawala cha Tyres PND kuharibiwa.




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...