Search This Blog

Sunday, February 28, 2021

Shambulizi la bomu Somalia


Watu watatu wameuawa wawili kati yao wakiwa wanajeshi katika shambulizi la bomu kwenye msafara wa jeshi Mogadishu, mji mkuu wa Somalia, Imetangazwa kuwa shambulizi hilo lililenga afisa mkuu wa jeshi.


Imeripotiwa kuwa afisa huyo amesema alinusurika tukio hilo bila kujeruhiwa, lakini wanajeshi 2 na raia 1 walifariki katika mlipuko huo, Hakuna mtu aliyedai kuhusika na shambulizi hilo bado.




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...