Search This Blog

Thursday, February 11, 2021

Rais Magufuli leo anatarajia kuzindua soko la kisasa kuu Morogoro

 


Leo Februari 11, 2021 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli anatarajia kuzindua soko la kisasa (Soko kuu Morogoro) kisha kuzungumza na wafanyabiashara na wakazi wa Mkoa huo.

Jengo la soko hilo la ghorofa moja lililogharimu Sh17.6 bilioni mpaka kukamilika liliwa na maduka 304, vizimba 900, maeneo makubwa 16 kwa ajili ya taasisi za kibenki na ofisi, maegesho ya magari makubwa ya mizigo, maegesho ya magari madogo 143, vyoo, migahawa na stoo 36 za mitumba pamoja na bucha n.k



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...