Search This Blog

Monday, February 8, 2021

Maambukizi ya Ebola yagundulika tena DRC


Mtu mmoja amegundulika kuwa na virusi vya Ebola Mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Wizara ya Afya nchini humo imeeleza.

Mwanamke mmoja kutoka mji wa Biena karibu na mji wa Butembo amepoteza maisha kutokana na Ugonjwa huo.

Mamlaka zimesema zinapeleka timu ya wataalamu katika eneo hilo.

Huu ni mlipuko wa 12 wa Ebola nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia

Ya awali ilitokea karibu miezi mitatu iliyopita Magharibi mwa DRC.




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...