Search This Blog

Thursday, January 28, 2021

Zuma aamriwa kufika mbele ya jopo la wachunguzi


Mahakama ya kikatiba ya Afrika Kusini imesema kuwa rais wa zamani Jacob Zuma ni lazima afike mbele ya jopo linalochunguza madai ya vitendo vya rushwa vilivyotokea wakati wa utawala wake.

Mahakama iliamua kuwa kuwa hakuwa na haki kukaa kimya mbele ya tume.

Bwana Zuma anashutumiwa kupora mali za taifa hilo wakati alipokuwa rais.

Zuma amekana madai hayo dhidi yake.

Matokeo ya jopo hilo hayatawaongoza moja kwa moja kwenye mashtaka lakini yanaweza kupelekwa kwa waendesha mashtaka.






No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...