Search This Blog

Tuesday, January 12, 2021

Waziri wa Afrika Kusini apatikana na corona


Waziri Jackon Mthembu alikuwa na maumivu ya tumbo kabla ya kupimwaImage caption: Waziri Jackon Mthembu alikuwa na maumivu ya tumbo kabla ya kupimwa

Waziri wa nchi katika ofisi ya rais Jackson Mthembu amekuwa waziri wa nne katika serikali ya Afrika Kusini kupatikana na virusi vya corona.

Bw Mthembu alipimwa virusi hivyo baada ya kuwa na dalili, ilisema ofisi ya rais.

Amewekwa katika karantini pamoja na kila mtu aliyekaribiana naye

Waziri Mthembu alitweet akisema ana maumivu ya tumbo :

Afrika Kusini ina aina mpya ya virusi vya corona inayosambaa kwa kasi kubwa.

Nchi hiyo ilirekodi wagonjwa wapya 15,046 na vifo vipya416, na kulifanya taifa hilo kufikia jumla ya wagonjwa wa corona1,246,643 na vifo 33,579.






No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...