Search This Blog

Tuesday, January 12, 2021

Wanajeshi wa Uganda waripotiwa kuvamia makazi ya mgombea wa urais Bobi Wine


Mgombea wa Urais nchini Uganda Robert Kyagulanyi amelazimika kukatiza mahojiano yake na radio baada ya wanajeshi kuvamia nyuma yake mjini Kampala.

Vyombo vya habari nchini Uganda vinaripoti kuwaleo asubuhi wanajeshi waliizingira nyumba yake , na kuwakamata walinzi wake wote na mtu yeyote waliyempata katika eneo la makazi ya mwanasiasa huyo wa upinzani

Hata hivyo hakuna sababu iliyotolewa juu ya uvamizi huo.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...