Waandishi wa habari walioko Uganda wanaripoti kuwa vifaa vya kupigia kura vimechelewa kufikishwa katika baadhi ya maeneo ya kupigia kura.
Wale waliotweet kutoka vituo mbali mbali vya kipigia kura wamesema kuwa vifaa vilikuwa bado havijafikishwa katika vituo vya kupigia kura saa moja asubuhi, muda ambao upigaji kura ulitakiwa kuanza.
Serikali imeamuru kufungwa kwa mitandao ya kijamii.
Ufuatao ni baadhi ya ujumbe wa Twitter uliotumwa na waandishi wa habari kuhusu kuchelewa kwa shughuli ya kupiga kura.

No comments:
Post a Comment