Search This Blog

Thursday, January 14, 2021

Vifaa vya uchaguzi vyachelewa kufika katika baadhi ya vituo vya kupigia kura


Waandishi wa habari walioko Uganda wanaripoti kuwa vifaa vya kupigia kura vimechelewa kufikishwa katika baadhi ya maeneo ya kupigia kura.

Wale waliotweet kutoka vituo mbali mbali vya kipigia kura wamesema kuwa vifaa vilikuwa bado havijafikishwa katika vituo vya kupigia kura saa moja asubuhi, muda ambao upigaji kura ulitakiwa kuanza.

Serikali imeamuru kufungwa kwa mitandao ya kijamii.

Ufuatao ni baadhi ya ujumbe wa Twitter uliotumwa na waandishi wa habari kuhusu kuchelewa kwa shughuli ya kupiga kura.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...