Search This Blog

Saturday, January 23, 2021

VIDEO: Mgombea NCCR Mageuzi ahamia Chadema, afunguka mazito

Aliyekua mgombea udiwani kata ya Saranga kupitia tiketi ya NCCR Mageuzi Frank Rugwana leo Januari 23 amehama chama chake na rasmi kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA ambapo amepokelewa na Mwenyekiti wa jimbo la Kibamba Ernest Mgawe.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.....USISAHAU KUSUBSCRIBE  



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...