Search This Blog

Saturday, January 23, 2021

VIDEO: Kama umeibiwa gari njoo uchukue, RPC Njombe awaita

Watuhumiwa 5 wanashikiliwa na jeshi la polisi mkoa wa Njombe kwa tuhuma za kuhusika na wizi wa magari 6 yaliyopatikana mikoa tofauti yanayosadikika yametokana na ujambazi.Kamanda wa polisi mkoa wa Njombe Hamis Issa afunguka.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.....USISAHAU KUSUBSCRIBE 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...