Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mh. Selemani Jafo ameupongeza uongozi wa mkoa Kagera kwa kusimamia vizuri fedha za serikali zilizotumwa mkoani humo kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo Afya, Maji, Barabara pamoja na Shule ambapo miradi yote imekamilika vizuri na kuahidi kuwaongezea fedha nyingine za kuboresha vituo vya Afya na kuongeza vyumba katika hospital za wilaya zilizojengwa mkoani humo.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.....USISAHAU KUSUBSCRIBE

No comments:
Post a Comment